Noi incurviamo la statura di tutti coloro ai quali concediamo una lunga vita 1 . Non capiscono ancora?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na yoyote tutakayeurefusha umri wake mpaka awe mkongwe tunamrudisha kwenye hali ya udhaifu wa akili na udhaifu wa mwili. Basi hawatii akilini kwamba yule Aliyefanya hili ni mwenye uweza wa kuwafufua?