“O my dear son! Establish prayer, encourage what is good and forbid what is evil, and endure patiently whatever befalls you. Surely this is a resolve to aspire to.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Ewe mwanangu! Simamisha Swala kikamilifu kwa kutimiza nguzo zake, sharti zake na mambo ya lazima yake, na uamrishe mema na ukataze maovu, na ujue kwamba nyasia hizi ni miongoni mwa mambo Aliyoyaamrisha Mwenyezi Mungu ambayo inatakiwa kuyafanyia pupa.