Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Ahzab 33:2

33:2
واتبع ما يوحى اليك من ربك ان الله كان بما تعملون خبيرا ٢
وَٱتَّبِعْ مَا يُوحَىٰٓ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرًۭا ٢
وَٱتَّبِعۡ
مَا
يُوحَىٰٓ
إِلَيۡكَ
مِن
رَّبِّكَۚ
إِنَّ
ٱللَّهَ
كَانَ
بِمَا
تَعۡمَلُونَ
خَبِيرٗا
٢
Follow what is revealed to you from your Lord. Surely Allah is All-Aware of what you ˹all˺ do.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na uyafuate yale uliyoletewa wahyi kutoka kwa Mola wako, ya Qur’ani na Sunnah. Hakika Mwenyezi Mungu Anayaona mnayoyafanya na ni Mwenye kuwalipa kwa hayo, hakuna kitu kinachofichamana Kwake katika hayo.