Eat of the good, lawful things provided to you by Allah. And be mindful of Allah in Whom you believe.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na mstarehe, enyi Waumini, kwa halali nzuri Aliyowapa Mwenyezi Mungu na kuwatunukia. Na mcheni Mwenyezi Mungu kwa kufuata amri Zake na kujiepusha na makatazo Yake. Kwani kumuamini kwenu Mwenyezi Mungu kunawalazimisha nyinyi kumcha Yeye na kumtunza[.