As for those who disbelieve and reject Our revelations, they will be the residents of the Fire, staying there forever. What an evil destination!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale ambao wanapinga kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Mola wa haki na wakazikanusha dalili za kuwa Yeye Ndiye Mola na hoja za uungu Wake Alizowatuma nazo Mitume Wake, hao ni watu wa Motoni, ni wenye kukaa humo milele. Moto huo wa Jahanamu ni marejeo maovu mno watakayofikia.