But if they repent, perform prayer, and pay alms-tax, then they are your brothers in faith. This is how We make the revelations clear for people of knowledge.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na iwapo watakomeka na ibada ya asiyekuwa Mwenyezi mungu, wakalitamka neno la kumpwekesha, wakajilazimisha na sheria za Kiislamu za kusimamisha Swala na kutoa Zaka, basi hao ni ndugu zenu katika Uislamu. Na tunazieleza waziwazi aya na kuzifafanua kwa watu wenye kufaidika nazo.