Kecuali kepada isterinya atau hamba sahayanya maka sesungguhnya mereka tidak tercela: -
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Renungan
Jawapan
Qiraat
Hadis
Isipokuwa kwa wake zao au wajakazi waliomilikiwa na mikono yao ya kulia. Hao, Waumini hawana lawama wala makosa kuwaingilia na kujistarehesha nao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewahalalishia.