"Pergilah kepada Firaun, sesungguhnya ia telah melampaui batas".
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Renungan
Jawapan
Qiraat
Hadis
Enda, ewe Mūsā, kwa Fir'awn, kwa kuwa yeye amepitisha kipimo chake na ametoka kwenye utiifu wa Mola wake, umuite kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumuabudu.