Do they not then reflect on the Quran? Or are there locks upon their hearts?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Je, si wayazingatie mawaidha ya Qur’ani wanafiki hawa na wazifikirie hoja zake? Lakini nyoyo hizi zimefungwa, hakuna kitu cha hii Qur’ani kinachozifikia, hivyo basi haziyatii akilini mawaidha ya Mwenyezi Mungu na mazingatio yake.