Maar niemand geloofde Mozes, behalve wat kinderen van zijn volk, vanwege de vrees voor de Farao en diens notabelen dat zij hen zouden vervolgen. En werkelijk, de Farao was een onderdrukker in het land, hij behoorde zeker tot de buitensporigen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na hawakumuamini Mūsā, amani imshukiye, pamoja na hoja na dalili alizowaletea, isipokuwa kizazi cha watu wake, Wana wa Isrāīl, hali ya kuwa wao wana uoga na Fir'awn na kundi lake wasiwatese kwa kuwaadhibu na wasiwazuie na Dini yao. Na hakika Fir'awn ni mjeuri mwenye kiburi katika ardhi, na hakika Yeye ni miongoni mwa waliopita mpaka katika ukafiri na uharibifu.