Waarlijk, degenen die" geloven en goede daden verrichten en die hun Heer gehoorzamen– zij zullen de bewoners van het Paradijs zijn en zij zullen daarin voor altijd verblijven.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hakika wale ambao walimuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafanya matendo mema, wakanyenyekea kwa Mwenyezi Mungu katika kila walichoamrishwa na kukatazwa. Hao ndio watu wa Peponi, hawatakufa humo wala hawatatoka kabisa.