Maar toen hij zag dat hun handen niet naar het (maal) reikten, vond hij hen vreemd en werd hij bang voor hen. Zij zeiden: “Heb geen angst, wij zijn naar het volk van Loeth gestuurd.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Alipoona Ibrāhīm kuwa mikono yao haifikikishwi kwenye yule mwanang>ombe aliyewaletea na kuwa wao hawamli, alikataa hilo kutoka kwao na akaingiwa na hisia ya uoga ndani ya moyo wake. Malaika wakasema, walipoona uoga uliomuingia Ibrāhīm, «Usiogope! Sisi ni Malaika wa Mola wako tumetumwa kwenda kwa watu wa Lūṭ kuwaangamiza.