Zij zeiden: “O Shoe’aib!" Gebiedt jouw gebed zo, dat je ons beveelt de aanbidding, die onze voorvaderen plachten te verrichten, na te laten, of dat wij stoppen met onze weelde te doen wat wij willen? Waarlijk jij bent verstandig, rechtgeleid.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wakasema, «Ewe Shu'ayb, je swala hii ambayo unaendelea nayo ndiyo inayokuamuru wewe kwamba sisi tuache masanamu na mizimu ambayo baba zetu wanaabudu, au kwamba sisi tujizuie tusitumie njia tuziwezazo za hila na vitimbi katika kuchuma mali yetu?» Wakasema kwa njia ya kumcheza shere, «Wewe ndiye mwenye akili na hodari wa mipango ya usimamizi wa mali.»