Zeg: “Dit is mijn Weg, ik en mijn volgelingen roepen op tot Allah met zekere kennis. En Verheerlijkt en Uitmuntend is Allah. En ik behoor niet tot de afgodenaanbidders.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Waambie, ewe Mtume, «Hii ni njia yangu, ninaita kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake, nikiwa kwenye hoja inayotoka kwa Mwenyezi Mungu na uhakika, mimi na anayenifuata. Na ninamuepusha Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, na washirika na mimi si katika wale wanaomshirikisha pamoja na Mwenyezi Mungu mtu mwingine.»