Behalve hij die (de Satan) heeft afgeluisterd, en door een duidelijk vlammend vuur wordt achtervolgd.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Isipokuwa aliyetega sikio kusikiliza maneno ya watu wa juu baadhi ya nyakati, akafikiwa na sayari inayotoa mwangaza na kumchoma.Na huenda Shetani akamddokeza rafiki yake baadhi ya habari alizozisikia kwa kutegea kabla hajateketezwa na kimondo.