Toen zij op hem toetraden en zeiden: “Vrede voor u! (Ibrahim) zei: “Voorwaar! Wij zijn bang voor jullie.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Pindi walipoingia kwake na wakamwamkia kwa kusema, «Amani.» Hapo naye akawarudishia maamkizi ya amani. Kisha akwaletea chakula na wao wasikile, na hapo akasema, «Sisi ni wenye kicho na nyinyi.»