En Wij gaven hen Onze Tekenen, maar zij hadden daar een afkeer van.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na tuliwapa watu wa Ṣāliḥ aya zetu zinazojulisha usahihi wa mambo ya haki ambayo amekuja nayo kwao Mtume Ṣāliḥ, na miongoni mwayo ni ngamia, waszingatie kwa aya hizo na wakawa ni wenye kujiweka mbali nazo na kuzipa mgongo.