Zie wat voor vergelijkenissen zij met jou maken: Zij dwalen dus af en nooit zullen zij de Weg vinden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Fikiri, ewe Mtume, kwa kulionea ajabu neno lao kwamba Muhammad ni mchawi mshairi mwenye wazimu. Hivyo basi wamekiuka mpaka na wamepotoka na hawakuongokea njia ya haki na usawa.