Waarlijk! Jij hebt geen gezag noch autoriteit over Mijn (gelovige) dienaren. En voldoende is jouw Heer als Hoeder (tegen Satan).
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Hakika waja wangu Waumini waliyotakaswa ambao walinitii, wewe huna uwezo wa kuwapoteza.» Na inatosha kuwa Mola wako , ewe Mtume, kuwa Ndiye Mwenye kuwalinda na kuwahifadhi Waumini kutokana na vitimbi vya Shetani na udanganyifu wake.