(Dit was) de handelwijze van de Boodschappers die Wij vόόr jou hebben gestuurd, en jij zult geen verandering in Onze handelwijze vinden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Huo ndio mwendo uliowekwa na Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, katika kuwaangamiza watu wanaomtoa Mtume wao kutoka kwao, na hutapata mabidiliko kwenye mwendo wetu, kwani hatuendi kinyume na ahadi yetu.