Dat zijn degenen van wie de daden tijdens het wereldse leven werden tenietgedaan, terwijl zij dachten dat hun daden beloningen zouden opleveren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wao ni wale ambao matendo yao yalipotea katika maisha ya ulimwengu- nao ni washirikina wa watu wako na wengineo kati ya wale waliopotea njia ya sawa wasiwe kwenye uongofu wala usawa- na hali wao wanadhania kuwa wanayatengeneza matendo yao.