En hoeveel generaties vόόr hen hebben Wij niet vernietigd? Kun jij daar nog iemand van vinden of zelfs een fluistering van hen horen?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na mara nyingi tumewaangamiza ummah waliotangulia kabla ya watu wako, humuoni yoyote miongoni mwao na husikii sauti yao, basi hivyo ndivyo watakavyokuwa makafiri wa watu wako, tutawaangamiza kama tulivyowaangamiza waliotanguli kabla yao. Katika hii pana onyo na agizo la kuwaangamiza wakanushaji wenye ushindani wa ubatilifu.