Eet en weidt jullie vee (daarop); waarlijk, hierin zijn bewijzen en Tekenen voor mensen van verstand.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kuleni, enyi watu, miongoni mwa vizuri tulivyowaoteshea, na muwalishe wanyama howa wenu na wa mstuni. Kwa kweli, katika yote yaliyotajwa pana alama nyingi za uweza wa Mwenyezi Mungu na ni ulinganizi wa umoja Wake na kumpwekesha Yeye kwa kumuabudu kwa wenye akili timamu.