En dit is een gezegende Overdenking die Wij naar beneden hebben gezonden, hebben jullie dan (de moed) om het te ontkennen?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na hii Qur’ani ambayo Mwenyezi Mungu Ameiteremsha kwa Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukliye, ni ukumbusho kwa anayejikumbusha nayo na akatekeleza amri Zake na akajiepusha na makatazo Yake, ina kheri nyingi na manufaa makubwa. Je, mnaikanusha na hali ina upeo wa uwazi na ufunuzi.