Zij zullen zeggen: “Onze Heer! Onze tegenspoed overkwam ons en wij waren een dwalend volk.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wakikubali kuwa Mitume wao waliwapelekea ujumbe na wakawaonya, watasema Siku ya Kiyama, «Mola wetu! Raha zetu, na pia matamanio yetu yalikadiriwa kwetu kwenye ujuzi wako uliotangulia, zilitutawala na kwa hivyo tukawa, katika matendo yetu, ni wenye kupotea na kuwa kando ya njia ya uongofu.