Hij heeft mij zeker doen afdwalen van de Overdenking nadat die tot mij gekomen was. En Satan laat de mens in de steek.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Amenipoteza rafiki huyu na kuniepusha na Qur’ani baada ya kunijia» Na Shetani aliyefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu amekuwa daima ni mwenye kumtupa mwanadamu. Katika aya hizi kuna onyo kwamba rafiki mbaya asifuatwe, kwani yeye huenda akawa ni sababu ya kumtia, yule anayefuatana na yeye, Motoni.