Farao zei tegen degenen om hem heen: “Horen jullie niet (wat hij zegt)?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Fir’awn akasema kuwaambia walioko pambizoni mwake miongoni mwa watukufu wa watu wake, «Je, hamusikii maneno ya Mūsā ya ajabu kwamba kuna mola asiyekuwa mimi?»