En tot Zijn Tekenen behoren de schepping van de hemelen en de aarde, en het verschil in jullie talen en (huids)kleuren. Waarlijk, daarin zijn zeker Tekenen voor mensen met kennis.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu ni uumbaji mbingu na kuwa juu kwake bila ya nguzo, na uumbaji ardhi ikiwa imekunjuka na kupanuka, na kutafautiana lugha zenu na kuwa mbalimbali rangi zenu. Hakika katika hayo kuna mazingatio kwa kila mwenye elimu na busara.