Of zeggen zij: “Hij (Mohammed) heeft het verzonnen!” Nee, het is de Waarheid van jouw Heer, zodat je de mensen kunt waarschuwen waarvoor nog geen waarschuwer vόόr jou is gekomen, zodat zij geleid zijn.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kwani je, wanasema washirikina kuwa Muhammad Ameizua Qur’ani? Wamesema urongo, bali hiyo Qur’ani ndiyo ukweli uliothibiti ulioteremshwa kwako, ewe Mtume, kutoka kwa Mola wako, ili uwaonye nayo watu ambao hawakujiwa na muonyaji kabla yako wewe, huenda wao wakaongoka: wakaijua haki, wakaiamini, wakaitanguliza na wakakuamini wewe.