En volg dat wat aan jou is geopenbaard van jouw Heer. Waarlijk, Allah is zich goedbewust van wat jij doet.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na uyafuate yale uliyoletewa wahyi kutoka kwa Mola wako, ya Qur’ani na Sunnah. Hakika Mwenyezi Mungu Anayaona mnayoyafanya na ni Mwenye kuwalipa kwa hayo, hakuna kitu kinachofichamana Kwake katika hayo.