En er kwam van het verste gedeelte van de stad een man aanrennen, die zei: “O mijn volk! Gehoorzaam de Boodschappers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akaja mtu kwa haraka kutoka mahali mbali mjini (Napo ni pale ilipojulikana kwamba watu wa kijiji wameazimia kuwaua wajumbe au kuwaadhibu) akasema, «Enyi watu wangu! Wafuateni wajumbe mlioletewa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.