En een Teken voor hen is de dode aarde die Wij tot leven doen komen en waaruit Wij graan voortbrengen, waarvan zij eten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na ili kuwaonyesha hawa washirikina ushahidi wa uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua na kukusanya ni hii ardhi iliyokufa isiyo na mimea, tumeihuisha kwa kuteremsha maji, na tukatoa humo aina mbalimbali za mimea ambayo watu na wanyama wanakula. Na Mwenye kuhuisha ardhi kwa mimea Ndiye Atakayehuisha viumbe baada ya kufa.