En als hij niet onder degenen was geweest die Allah verheerlijkten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Lau si yale yaliyotangulia kwake, ya wingi wa Ibada na matendo mema kabla ya kuingia ndani ya tumbo la chewa kwa kusema, «Hapana Mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, kutakasika na sifa za upungufu ni kwako, mimi nimekuwa miongoni mwa wenye kudhulumu,»