Maar zij geloofden niet in hem (de Koran) daarom zullen zij het weten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ulipowajia wao utajo wa watu wa mwanzo na utajo wa watu wa mwisho na kitabu kikamilifu kabisa na bora wa Mitume, naye ni Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, walimkanusha. Basi wataijua adhabu watakayopatiwa Siku ya Mwisho.