Hoeveel generaties vόόr hen hebben Wij niet vernietigd? Zij schreeuwden het uit toen er voor ontkomen geen tijd meer was.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kuna ummah wengi tuliowaangamiza kabla ya hawa washirikina, wakaomba waokolewe na wakaita kutaka toba, na wakati si wakati wa kukubaliwa toba wala wakati wa kukimbia na kuokolewa na yaliyowapata.