Als Allah een zoon zou wensen te nemen, dan zou Hij kiezen wat Hij wilde van wat Hij geschapen heeft. Maar verheerlijkt is Hij! Hij is Allah, de Ene, de Overweldiger.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Lau Angalitaka Mwenyezi Mungu kuwa na mtoto, Angalichagua, miongoni mwa viumbe Vyake, Anachotaka. Ameepukana Mwenyezi Mungu na kutakasika na kuwa na mtoto! Hakika Yeye ni Mmoja Aliye Pekee na kupwekeka, Mwenye kutegemewa kwa kila haja, Mwenye kutendesha nguvu ambaye Amewalazimisha viumbe kwa uweza Wake, basi kila kitu kinamdhalilikia Yeye na kumnyenyekea.