En wees niet zoals degenen die (onderling) verdeeld zijn en met elkaar van mening verschillen, nadat er duidelijke Bewijzen tot hen zijn gekomen. Voor hen is er een vreselijke bestraffing.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na wala msiwe, enyi Waumini, kama waliopewa vitabu, ambao ulizuka uadui kati yao na kuchukiana, wakatengana makundi na vyama mbalimbali na wakatafautiana kwenye misingi ya dini yao baada ya haki kuwa wazi kwao. Na hao wanastahili adhabu kubwa iumizayo.