Zij zijn niet allen gelijk; een deel van de mensen van het Boek is rechtvaardig, zij reciteren de Verzen van Allah in de uren van de nacht en knielen neer in gebed.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Waliopewa Vitabu hawako sawa: kati yao liko kundi lifuatalo njia iliyolingana sawa juu ya amri ya Mwenyezi Mungu, lenye kumuamini Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na ambalo watu wake wanasimama usiku wakizisoma aya za Qur’ani tukufu na wakielekea kwa Mwenyezi Mungu kwa kumuomba katika Swala zao.