Hiervoor is de beloning vergeving van hun Heer en Tuinen (het Paradijs) waar rivieren onderdoor stromen, waarin zij voor altijd zullen verblijven. Hoe uitmuntend is de beloning voor degenen die goede daden verrichten in" overeenstemming met de geboden van Allah.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hao waliosifiwa kwa sifa hizo, malipo yao ni kwamba Mwenyezi Mungu Atayasitiri madhambi yao na watapata mabustani ya Peponi ambayo maji tamu yatakuwa yanapita chini ya miti yake na majumba yake ya fahari, ilhali ya kukaa humo milele; hawatotoka humo kamwe. Na malipo bora ya wenye kutenda mema ni msamaha na Pepo.