Hij zei: “O, mijn Heer! Hoe kan ik een zoon verwekken, terwijl ik een hele oude man ben en mijn vrouw onvruchtbaar is? Allah zei: “Zo doet Allah wat Hij wil.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Zakariyyā akasema akiwa na furaha na kwa kustaajabu, «Mola wangu! Vipi nitakuwa na mtoto hali ya kuwa uzee umenifikia hadi ya kunifikia na mke wangu ni tasa, hazai.? Akasema, «Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyofanya Anayoyataka katika mambo ya ajabu yanayokwenda kinyume na mambo ya kawaida.»