Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Ali 'Imran 3:62

3:62
ان هاذا لهو القصص الحق وما من الاه الا الله وان الله لهو العزيز الحكيم ٦٢
إِنَّ هَـٰذَا لَهُوَ ٱلْقَصَصُ ٱلْحَقُّ ۚ وَمَا مِنْ إِلَـٰهٍ إِلَّا ٱللَّهُ ۚ وَإِنَّ ٱللَّهَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ ٦٢
إِنَّ
هَٰذَا
لَهُوَ
ٱلۡقَصَصُ
ٱلۡحَقُّۚ
وَمَا
مِنۡ
إِلَٰهٍ
إِلَّا
ٱللَّهُۚ
وَإِنَّ
ٱللَّهَ
لَهُوَ
ٱلۡعَزِيزُ
ٱلۡحَكِيمُ
٦٢
Waarlijk! Dit is de ware geschiedenis en er is geen god dan Allah.. En zeker, Allah is de Almachtige, de Alwijze.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hakika hili nililokuhadithia, ewe Mtume, kuhusu mambo ya ‘Īsā ndio habari ya kweli isiyo na shaka. Na hakuna muabudiwa anayestahiki ibada isipokuwa ni Mwenyezi Mungu Peke Yake. Na hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mshindi katika ufalme Wake, Ndiye Mwenye hekima katika upelekaji mambo Wake na vitendo Vyake.