Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: Ali 'Imran 3:65

3:65
يا اهل الكتاب لم تحاجون في ابراهيم وما انزلت التوراة والانجيل الا من بعده افلا تعقلون ٦٥
يَـٰٓأَهْلَ ٱلْكِتَـٰبِ لِمَ تُحَآجُّونَ فِىٓ إِبْرَٰهِيمَ وَمَآ أُنزِلَتِ ٱلتَّوْرَىٰةُ وَٱلْإِنجِيلُ إِلَّا مِنۢ بَعْدِهِۦٓ ۚ أَفَلَا تَعْقِلُونَ ٦٥
يَٰٓأَهۡلَ
ٱلۡكِتَٰبِ
لِمَ
تُحَآجُّونَ
فِيٓ
إِبۡرَٰهِيمَ
وَمَآ
أُنزِلَتِ
ٱلتَّوۡرَىٰةُ
وَٱلۡإِنجِيلُ
إِلَّا
مِنۢ
بَعۡدِهِۦٓۚ
أَفَلَا
تَعۡقِلُونَ
٦٥
O, mensen van het Boek, waarom redetwisten jullie over Ibrahim, want de Thora en de Indjiel werden pas na hem geopenbaard. Hebben jullie geen verstand?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Enyi watu wa vitabu vilivyoteremshwa, miongoni Mwa Mayahudi na Wanaswara, vipi kila mmoja kati yenu anabisha kwamba Ibrāhīm, amani imshukie, alikuwa kwenye mila yake. Ilhali Taurati na Injili hazikuteremshwa ela baada yake? Kwani hamufahamu upotofu wa maneno yenu kwamba Ibrāhīm alikuwa Myahudi au Mnaswara, na hali mnajua kuwa Uyahudi na Unaswara ulizuka baada ya kufa kwake kwa muda?