O, mensen van het Boek: ”Waarom vermengen jullie de waarheid met de leugen en bedekken jullie de Waarheid, terwijl jullie die kennen?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Enyi watu wa Taurati na Injili! Kwa nini nyinyi mnachanganya haki iliyo ndani ya vitabu vyenu, kwa yale ya ubatilifu mliyoyapotosha na kuya kwa mikono yenu, na kuzificha kwenu sifa za Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ziliomo ndani ya vitabu hivyo viwili na (kuficha kwenu) kwamba Dini yake ndiyo ya haki, na hali nyinyi mnajua hilo?