En Hij beveelt jullie niet de Engelen en de Profeten als Heren te nemen. Zou hij jullie bevelen ongelovig te zijn, nadat jullie je aan Allah’s wil onderworpen hebben?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na haikuwa kwa yoyote katika wao awaamrishe nyinyi kuwafanya Malaika na Mitume ni wola wasiokuwa Mwenyezi Mungu ambao nyinyi mnawaabudu. Je, inaingia akilini, enyi watu, yeye awaamrishe kumkanusha Mwenyezi Mungu baada ya kufuata kwenu amri yake?