En hij die geloofde zei: “O mijn volk! Waarlijk, ik vrees voor jullie het gelijke van wat er op de dag van de bondgenoten is (een bestraffing).
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akasema yule Aliyeamini katika jamaa za Fir’awn kumwambia Fir’awn na viongozi wa mamlaka yake kwa kuwapa ushauri na kuwaonya, «Mimi ninawaogopea mkimuua Mūsā mfano wa siku ya makundi yaliyojikusanya dhidi ya manabii wao.