Dat is de vergelding van de vijanden van Allah: Het Vuur. Voor hen is daar de eeuwige verblijfplaats, als een vergelding omdat zij Onze Tekenen plachten te ontkennen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Malipo haya ambayo watalipwa waliokufuru ni malipo ya maadui wa Mwenyezi Mungu, nayo ni Moto utakaokuwa ni nyumba yao ya kukaa daima milele, ukiwa ni malipo ya wale waliokuwa wakizikanusha hoja zetu na dalili zetu. Na aya hii inatolea ushahidi ukubwa wa kosa la mwenye kuwapotosha watu na Qur’ani tukufu na kuwazuia wasiizingatie wala wasijiongoze nayo kwa njia yoyote iwayo.