Waarlijk, degenen die zeggen: “Onze Heer is (alleen) Allah,” en daarin standvastig blijven, voor hen zullen de Engelen afdalen (zeggende): “Vrees niet noch wees bedroefd! Maar ontvang het goede nieuws van het Paradijs wat jullie beloofd is!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hakika ya wale waliosema, «Mola wetu ni Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake kisha wakasimama imara kufuata Sheria Yake, Malaika watawateremkia wakati wa kufa waseme kuwaambia, «Msiogopeni kufa na yatakayokuwa baada yake, wala msiwe na masikitiko juu ya yale mtakayoyaacha nyuma yenu katika mambo ya kilimwengu, na furahikeni kwa Pepo ambyo mlikuwa mkiahidiwa.»