En voorwaar, Wij gaven Mozes het Schrift, maar er werd over geredetwist. En als er geen het woord (van uitstel) van jou Heer was vooruit gegaan, dan was de zaak tussen hen zeker bepaald. Maar waarlijk, zij hebben daarover (de Koran) grote twijfel.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hakika tulimpelekea Mūsā Taurati kama tulivyokuletea wewe, ewe Mtume, Qur’ani, wakatafautiana watu wake kuhusu hiyo: katika wao kuna aliyeamini na katika wao kuna aliyekanusha. Na lau si neno (la ahadi) lililotangulia kutoka kwa Mola wako la kuwacheleweshea watu wako adhabu, uamuzi baina yao ungalitolewa wa kuwaangamiza makafiri papo hapo. Na kwa hakika washirikina wana shaka nayo sana Qur’ani.