Toen hij tot hen met Onze Tekenen kwam, toen lachten zij erom.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na alipowajia na dalili zilizo wazi zenye kuonyesha ukweli wake katika ulinganizi wake, hapo Fir’awn na viongozi wa utawala wake wakawa wanazicheka zile hoja na mazingatio alivyokuja navyo Mūsā.