Op die Dag wordt gezegd: “Deze Dag zullen Wij jullie vergeten zoals jullie de ontmoeting van deze Dag vergaten. En jullie verblijfplaats is het Vuur en daar is geen hulp voor jullie.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na wakaambiwa hao makafiri, «Leo tutawaacha ndani ya adhabu ya Moto wa Jahanamu, kama vile mlivyoacha kumuamini Mola wenu na kufanya matendo ya kuwafaa katika makutano ya Siku yenu hii, na makao yenu ni Moto wa Jahanamu, na hamtakuwa na wasaidizi wenye kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu.